Posted on: November 10th, 2021
Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe. Kanali Denis Mwilla ameshiriki katika uchimbaji wa msingi wa madarasa manane (8) katika Shule ya sekondari Nkilizya Wilayani Ukerewe Mkoani Mwanza.
Akizungum...
Posted on: October 21st, 2021
Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango Leo imefanya ziara ya kukagua miradi ya Maendeleo katika kata ya Irugwa iliyopo kisiwani.Miradi iliyotembelewa ni katika sekta ya Elimu na Afya.
M...
Posted on: July 26th, 2021
Bati 96 (gauge 28) zenye thamani ya Tsh 3,270,000/- zimekabidhiwa Shule ya Msingi Rubya kwa ajili ya kuezeka madarasa mawili ambayo yatajengwa na jamii inayozunguka eneo hilo.
Mkuu wa Wil...