Posted on: February 13th, 2019
Katibu Tawala wa Wilaya ya Ukerewe ndugu Focus Majumbi amekabidhi kadi za CHF iliyoboreshwa kwa kaya za watu wenye ualbino ambapo kaya 25 zimekabidhiwa vitambulisho hivyo katika ukumbi wa Albino uliop...
Posted on: February 1st, 2019
Baraza la madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe limekaa kikao maalumu kujadili bajeti ya mwaka 2019/2020 na kujadili ajenda mbalimbali ikiwemo za mapato na matumizi kwa mwaka ujao wa fedha.
Hal...
Posted on: January 25th, 2019
Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe, Mhe. Cornel Magembe amefanya ziara ya siku nne katika tarafa na kisiwa cha Ukara ambapo lengo kuu la ziara hiyo ni kujitambulisha na kuhamasisha maendeleo katika kata, vijij...