Posted on: November 24th, 2025
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Ndugu Vincent Augustino Mbua amefungua mafunzo ya siku 2 ya kuwajengea uwezo wakuu wa divisheni na maafisa bajeti ili waweze kuandaa mipango na ...
Posted on: November 24th, 2025
Chuo cha ufundi stadi VETA wilaya ya Ukerewe kimefanya mahafali yake ya kwanza kikihusisha wahitimu wa kada ya ufundi bomba, umeme wa majumbani, ujenzi na ushonaji wa mavazi kwa wahitimu 53 waliohitim...
Posted on: November 21st, 2025
Katika kuadhimisha siku ya lishe kitaifa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe kupitia kitengo cha lishe imeendelea kutoa elimu ya lishe kwa wananchi kupitia jiko darasa, shughuli iliyowaleta pamoja kina m...