Posted on: December 13th, 2025
"... elimu ndiyo maendeleo ya jamii ni jukumu la kila mmoja wetu kuhakikisha watoto wanapata elimu bora katika mazingira rafiki,tuwapatie chakula hata mlo mmoja wakiwa shuleni tushirikiane kwa pamoja ...
Posted on: December 12th, 2025
Ni muendelezo wa timu ya tathimini na ufuatiliaji kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo kutoa maelekezo katika kuhakikisha miradi yote inatekelezwa kwa viwango vinavyokubalika.
Miradi iliyotemb...
Posted on: December 11th, 2025
Walimu wakuu wateule wametakiwa kuimarisha umoja na mshikamano kwa watu wanaokwenda kuwaongoza, lengo la kikao hicho ilikuwa kuwakumbusha walimu hao kuhusu maadili, mahitaji ya mtaala mpya na miongozo...